Rich Mavoko ndani ya mbeya city


Mkali wa mavoko toka Dar es salaam... sasa anakuja mbeya live kwenye kumsaka kimwana mrembo wa Mbeya city yaani KATIKA SHINDANO  LA KUMSAKA MISS MBEYA CITY CENTER, usikose siku hiyooo. Ambayo itakuwa siku ya ijumaa tar 4/5/2012 Kwa kiingilio cha shilingi 10000/- tu! 

2 Responses so far.

  1. Anonymous says:

    KARIBU SANA KAKA MBEYA HII

  2. Anonymous says:

    FEEL AT HOME,Johnson is may name

Leave a Reply